VOA60 Afrika:Kiongozi wa waasi Sudan kusini, Riek Machar hakufika Juba kama ilivyotarajiwa kufuatana na makubaliano ya amani

Your browser doesn’t support HTML5

Kwa siku mbili mfululizo kiongozi wa waasi sudan kusini, Riek Machar hakufika Juba kama ilivyotarajiwa kufuatana na makubaliano ya amani baina ya serikali na Upinzani; na, Baada ya miaka kadhaa ya misukosuko, sarafu ya Congo Franc, yaanza kushuka tena dhidi ya dola ya Kimarekani.