VOA60 Afrika:Mwanariadha mashuhuri wa Olympic wa Afrika kusini Oscar Pistorius atahukumiwa Julai kwa mauwaji ya mpenzi wake Februari 14 2013
Your browser doesn’t support HTML5
Mwanariadha mashuhuri wa Olympic wa Afrika kusini Oscar Pistorius atahukumiwa mnamo mwezi Julai kwa mauwaji ya mpenzi wake Reeva Steenkamp mnamo Februari 14 mwaka 2013.