Viongozi wa Afrika Mashariki wahudhuria mazishi ya Nkurunziza
Your browser doesn’t support HTML5
Maelfu ya raia wa Burundi walijitokeza barabarani kutoa heshima zao kwa mwili wa Rais Pierre Nkurunziza uliokuwa unaelekea uwanjani kwa ajili ya kuagwa kitaifa.