Vikosi vya UN viko tayari kuisaidia serikali ya Bangui Jamhuri ya Kati
Your browser doesn’t support HTML5
Umoja wa Mataifa wasema vikosi vyake vya kulinda amani vya MINUSCA viko tayari kulisaidia jeshi la taifa la serikali ya Bangui kuhakikisha uchaguzi unafanyika Jamhuri ya Afrika ya Kati.