Vijana Kenya walalamikia mkakati wa uvuvi wa serikali
Your browser doesn’t support HTML5
Vijana Kenya wanalalamika hawaja husishwa kikamilifu katika mchakato wa juhudi za mipango ya kuboresha shughuli za uvuvi pwani ya nchi hiyo kwa malengo ya uzalishaji wa chakula na ajira kwa vijana.