Duniani Leo Uturuki na Afrika wajadili uchumi na diplomasia Istanbul 17 Desemba, 2021 Your browser doesn’t support HTML5 Kongamano kubwa kati ya serikali ya Uturuki na viongozi wa Afrika lafanyika Ijumaa Istanbul kujadili uchumi na diplomasia. Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C. #habari