Uteuzi wa viongozi uliofanywa na Rais Samia wapongezwa
Your browser doesn’t support HTML5
Wananchi wapokea uteuzi wa mawaziri na manaibu mawaziri walioapishwa Alhamisi na Rais Samia Suluhu Hassan kwa mitizamo tofauti huku wakipongeza na kueleza matarajio yao.