Ungana na mwandishi wa VOA Harrison Kamau ili akupe yale yote yaliyojiri Marekani na sehemu nyingine za dunia.
Utawala wa Rais Biden watangaza sera mpya kwa Afrika
Your browser doesn’t support HTML5
Utawala wa Rais wa Marekani Joe Biden umesema sera yake mpya kwa Afrika itazingatia usawa, jamii zilizowazi na zenye demokrasia, kujikwamua pia kutoka janga la corona na kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa.