Utawala wa Biden wawekeza Mabilioni kukabiliana na njaa, magonjwa na majanga

Your browser doesn’t support HTML5

Rais wa Marekani akihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa alisema: "utawala wetu umewekeza zaidi ya dola bilioni 150 kuleta maendeleo na malengo mengine ya mipango ya  maendeleo endelevu. Ikijumuisha dola bilioni 20 kwa ajili ya usalama wa chakula.

Pia alisema: "Zaidi ya bilioni 50 kwa ajili ya afya ulimwenguni

Tunakusanya mabilioni zaidi ya uwekezaji katika sekta binafsi

Tumechukua hatua kabambe \za hali ya hewa katika historia..."