UNIMISS yahamasisha kutokomeza manyanyaso ya kingono Juba
Your browser doesn’t support HTML5
Jumuiya ya Kiraia, UNIMISS, yahamasisha wadau mbalimbali nchini Sudan Kusini kusimamia haki za kinamama na kuzuia unyanyasaji wa kingono ambao umekithiri kwenye maeneo ya mizozo.