UN yahimiza msaada wa dharura ukanda wa Sahel
Your browser doesn’t support HTML5
Umoja wa Mataifa unasisitiza msaada wa dharura kupelekwa katika kanda ya Sahel ambako wananchi wa eneo hilo wamelazimika kukimbia makazi yao kutokana na mashambulizi ya kikatili yanayo fanywa na magenge yenye siasa kali.