Ukosefu wa makazi nafuu Nairobi, wasababisha wananchi wengi kuisi katika hali duni

Your browser doesn’t support HTML5

Nairobi sawa na miji mingine barani Afrika, inakumbwa na uhaba wa nyumba. Idadi kubwa ya watu wanahamia mijini kutoka mashambani ikifanya hali kuwa mbaya zaidi.

Japokuwa serikali tofauti zimekuwa zikiendeleza miradi ya ujenzi wa nyumba za bei nafuu, walengwa wanaonekana kutofaidika. Ungana na Mwandishi wetu Zainab Said akieleza watu wanavyokabiliwa na tatizo hilo na nini kinachofanywa kulitatua tatizo hilo...