Changamoto katika sheria za uhalifu Marekani

Your browser doesn’t support HTML5

Wanaharakati wa kutetea haki za sheria katika uhalifu kwa muda mrefu wamekuwa wakilalama kuwa hapa Marekani, kosa dogo la hata barabarani, linaweza kuwasababisha watu wasio na uwezo kuwa wahalifu.
Kukosa kulipa fauna yaks ya kosa la trafiki, kunaifanya faini hio kupanda na mara nyingi hali hio inazifanya jamii kuwageuka walinzi wa usalama. Huko mini Ferguson jimbo la Missouri, mauwaji ya kijana mweusi alokuwa hana silaha ,taka mitano ilopita, yalipelekea jamii huko na polisi kutathmini mienendo yao na kuibua mjadala wa kitaifa.