Uganda: Wazazi wa watoto wenye utapiamlo wahofia watoto wao kufariki

Your browser doesn’t support HTML5

Familia za watoto wanaokabiliwa na utapiamlo nchini Uganda walipokelewa katika wodi ya watoto wenye matatizo ya utapiamlo wanahofia watoto wao wanaweza kufariki kutokana na njaa.