Ufaransa na washirika wake kuwaondoa wanajeshi wao Mali

Your browser doesn’t support HTML5

Ufaransa na washirika wake katika kikosi cha Ulaya nchini Mali wametangaza Alhamisi wanajeshi wake wataondolewa kutoka Mali baada ya miaka 10 ya kupambana na uasi unaoendeshwa na wapiganaji wa Kiislamu.