Uchaguzi : Motsepe yaelekea atakuwa kiongozi wa CAF

Your browser doesn’t support HTML5

Patrice Motsepe, bilionea wa Afrika Kusini anatarajiwa kuwa kiongozi mpya wa Shirikisho la Soka Barani Afrika, CAF, baada ya makubaliano yaliyo simamiwa na Rais wa FIFA ambapo wapinzani wake walijitoa.