Uchaguzi Mkuu Ethiopia : Wananchi watoa maoni yao

Your browser doesn’t support HTML5

Wakati Uchaguzi Mkuu uliofanyika Ethiopia Jumatatu ukielezwa kama ni mtihani mkubwa kwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo Abiy Ahmed, wananchi wamejitokeza kupiga kura na kutoa maoni yao...