Duniani Leo Trump asema alikasirishwa na vurugu za wafuasi wake Congress 8 Januari, 2021 Your browser doesn’t support HTML5 Rais wa Marekani Donald Trump asema alikasirishwa na ghasia zilizo tokea bungeni wafuasi wake walipovamia Bunge la Marekani wiki hii. - Mkuu wa Polisi Uganda awaonya wapiga kura kutobakia katika vituo baada ya kupiga kura -Tanzania na China zasaini makubaliano ya kujenga reli.