Somalia: Maonyesho ya vitabu ya Mogadishu yahamasisha usomaji vitabu

Your browser doesn’t support HTML5

Maonyesho ya Vitabu ya Mogadishu yalifanyika wiki iliyopita baada ya mapumziko ya miaka mitatu kwa sababu ya janga la Corona. Ungana na mwandishi wetu akikuletea mafanikio na changamoto za maonyesho hayo, yaliyokusudiwa kukuza utamaduni wa usomaji.