Siku 100 za Rais Mwinyi madarakani zenye kishindo

Your browser doesn’t support HTML5

Rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi amekamilisha siku 100 tangu kuchukua madaraka kwa kishindo huku akifanya mabadiliko mbalimbali katika kuimarisha timu yake ya uongozi wakati wananchi wakiwa na matumaini makubwa.