COVID-19 : Shule zafunguliwa Kenya zikikabiliwa na changamoto
Your browser doesn’t support HTML5
Baada ya miezi tisa ya kimya cha kutisha mashuleni nchini Kenya kutokana na kusitishwa masomo kufuatia janga la Corona, hatimaye wanafunzi waanza muhula wa pili wa masomo huku kukiwa bado na changamoto ya kudhibiti COVID-19.