Shule hazina wanafunzi tangu waalimu kugoma 2022 nchini Sudan

Your browser doesn’t support HTML5

Shule hazina wanafunzi nchini Sudan tangu waalimu kuitisha migomo Novemba mwaka 2022. Ungana na mwandishi wetu akikuelezea hali ya elimu nchini humo na nini wadau waelimu wanaeleza kuhusu hatma ya wanafunzi.