Shirika la ufadhtili latahadharisha upungufu wa chakula Somalia

Your browser doesn’t support HTML5

Shirika la ufadhili la Uingereza, Save The Children, linasema uvamizi wa nzige, hali mbaya ya hewa na uhaba wa mvua vitasababisha mamilioni ya wananchi wa Somalia kutokuwa na chakula cha kutosha mwaka 2021.