- Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, imeanza kampeni ya chanjo ya Ebola kupambana na mlipuko wa ugonjwa huo kaskazini magharibi mwa mji wa Mbandaka, Shirika la Afya Duniani limesema.
Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari