Russia yaitaka Ukraine kuacha hatua za kijeshi
Your browser doesn’t support HTML5
Russia inaitaka Ukraine isitisha hatua za kijeshi, ibadilishe katiba yake, isiegemee upande wowote na ikiri kuwa Crimea ni sehemu ya Russia na kutambua jamhuri za wanaotaka kujitenga Donetsk na Lugansk kama maeneo huru.