Rais wa Marekani Joe Biden ahudhuria mkutano wa G20 mjini New Delhi, India

Your browser doesn’t support HTML5

Wiki hii kwenye Washington Bureau tunaangazia ziara ya Rais wa Marekani Joe Biden nchini India, kwa mkutano wa viongozi kutoka kundi la mataifa tajiri na yaliyoendelea kiviwanda ulimwenguni la G20.