Rais wa Kenya Ruto asisitiza umuhimu wa kuimarisha mawasiliano

Your browser doesn’t support HTML5

Rais wa Jamhuri ya Kenya Dkt. William Samoei Ruto pamoja na ujumbe wake ulikuwa Ikulu Jijini Dar es Salaam na umefanya mazungumzo na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan na ujumbe wake kuimarisha uhusiano kati ya nchi hizo mbili. Baada ya mazungumzo hayo Rais Ruto alikuwa na haya yakusema...