Rais wa Ivory Coast atekeleza ahadi ya kupunguza idadi ya mawaziri

Your browser doesn’t support HTML5

Rais wa Ivory Coast apunguza idadi ya mawaziri katika serikali yake ikiwa ni ndogo ikilinganishwa na ile ya baraza la mawaziri lililotangulia, akiwabakisha mawaziri wa ulinzi na mambo ya nje.