Rais wa Afrika Kusini aambukizwa COVID-19

Your browser doesn’t support HTML5

Rais wa Afrika kusini, Cyril Ramaphosa mwenye umri wa miaka 69 alipimwa na kugundulika ana COVID-19 siku ya Jumapili ingawa anaonyesha dalili ndogo tu za ugonjwa huo ofisi ya rais ilisema.