Rais Biden apongeza jitihada za maseneta kuhusu udhibiti wa bunduki

Your browser doesn’t support HTML5

Rais Biden alipongeza kundi la Maseneta lililoongozwa na Chris Murphy kwa mapendekezo yake ya hatua mpya ya kudhibiti bunduki, ingawa alikiri hayakidhi kile kinachotakiwa hasa kufanyika.