Raia wa Uingereza akutwa na hatia kesi ya mauaji ya Wamarekani Syria
Your browser doesn’t support HTML5
Kesi ya Wamarekani waliotekwa na kuuwawa nchini Syria yamalizika Marekani kwa mahakama ya Virginia nchini Marekaani kutoa haki kwa familia zao, na raia wa Uingereza kukutikana na hatia kwa kuhusika na uhalifu huo.