Profesa Namwamba atoa mbinu za kukabiliana na uhaba wa chakula Afrika

Your browser doesn’t support HTML5

Profesa Fullbert Namwamba mtaalam wa sayansi na jiolojia nchini Marekani anashauri kwamba nchi za Pembe ya Afrika ni lazima zijipange katika kukabiliana na uhaba wa chakula.

Shirika la Kiserikali la Ustawi wa nchi za Mashariki mwa Afrika, IGAD, linasema watu milioni 50 wanaukosefu wa chakula. Endelea kusikiliza mahojiano maalum kuhusu ufumbuzi wa hali hiyo ambayo inatishia uhai wa watu.