Lakini Polisi wanadai kuwa bila ya kutumika nguvu harakati nyingi nchini Kenya zingesimama kutokana na vurugu zinazotokana na maandamano.
Polisi walaumiwa kwa kutumia nguvu za ziada kukabiliana na waandamanaji
Your browser doesn’t support HTML5
Uzinduzi wa kitabu kinacho angalia namna polisi wanavyotumia nguvu za ziada kuzima maandamano.