Polisi Thailand wawatawanya waandamanaji wanaoipinga serikali
Your browser doesn’t support HTML5
Wakati Bunge la Thailand likijiandaa kujadili marekebisho ya katiba yaliofikishwa na serikali zoezi hilo limeendelea kuchochea maandamano nchini humo huku polisi wakiwatawanya waandamanaji mitaani.