Polisi Mahore wabomoa mabanda ya wahamiaji
Your browser doesn’t support HTML5
Maafisa wa Polisi katika Kisiwa cha Mahore kinacho tawaliwa na Ufaransa wanabomoa mabanda ya makazi ya wahamiaji hususan wale kutoka Comoro mfululizo kwa siku ya nne.
Your browser doesn’t support HTML5