Ouko aeleza mabadiliko jela yalivyoleta mafanikio
Your browser doesn’t support HTML5
Peter Ouko aeleza jinsi alivyoweza kufikia mafanikio kwa kutokata tamaa wakati akiwa gerezani huku changamoto alizopitia zilimpa imani kuwa nuru ya matumaini itamwangazia baada ya mageuzi kufanyika katika jela za Kenya.