Ikiwa imebakia wiki moja uchaguzi wa urais kufanyika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), inahofiwa raia wengi wa nchi hiyo huenda wasiweze kupiga kura.
Uchaguzi DRC : Nini wanachosema Raia wa DRC wanaoishi uhamishoni?
Your browser doesn’t support HTML5
Raia wa Congo wanaoishi uhamishoni wakifuatilia uchaguzi mkuu nchini DRC