Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari
New York: Rais Biden alihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
Your browser doesn’t support HTML5
Rais wa Marekani Joe Biden amehutubia Mkutano wa 77 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ambapo wakuu wa nchi duniani wanakutana kujadiliana masuala mbalimbali mjini New York, Marekani