Nchi za G20 zatakiwa kutekeleza ahadi zao

Your browser doesn’t support HTML5

Waziri Mkuu wa Italia Mario Draghi ametoa wito Alhamisi kwa mataifa 20 tajiri duniani G20, kutekeleza ahadi zao za kupunguza kuongezeka kwa joto duniani kwa nyuzi joto 1.5 Celsius wakati wa mkutano wa viongozi wa kundi hilo mwezi ujao.