Mzozo unaotokana na upungufu wa maji waua 22 Cameroon
Your browser doesn’t support HTML5
Mapigano Cameroon yaacha watu 22 wameuawa na wengine kujeruhiwa kufuatia mzozo kati ya
wavuvi, wafugaji na wakulima kutokana na upungufu wa maji.
Your browser doesn’t support HTML5