Myanmar : Kesi ya Suu Kyi yasikilizwa, aaongezewa mashtaka mawili
Your browser doesn’t support HTML5
Kiongozi wa Myanmar, Aung San Suu Kyi, kesi yake imesikilizwa kupitia mawasiliano ya video na ni mara ya kwanza kwa mawakili wake kumuona tangu kukamatwa Februari 1.