Mwandishi wa riwaya aliyeteswa Uganda awasili Ujerumani kwa matibabu

Your browser doesn’t support HTML5

Mwandishi wa vitabu wa Uganda Kakwenza Rukirabashaija awasili Ujerumani ili kuweza kupatiwa matatibabu baada ya kuteswa akiwa gerezani Uganda na hatimaye kufanikiwa kukimbia kutoka nchini humo.