Muathirika wa tumbaku aeleza alikuwa hajui madhara ya sigara kwa afya yake

Your browser doesn’t support HTML5

Muathirika wa tumbaku nchini Kenya aeleza namna alivyoingia katika uraibu wa sigara akiwa bado shuleni na aliongeza matumizi ya sigara baada ya kuanza kazi.

Ungana naye akikuelezea mateso aliyopitia katika matibabu ya saratani ya koo na nini kilichomsaidia kuendelea kuishi. Anaeleza ilikuwa ni ndoto yake awafikishie ujumbe wengine juu ya madhara ya sigara.