Mteule wa Trump huenda akaidhinishwa kabla ya uchaguzi Marekani
Your browser doesn’t support HTML5
Jaji mteule wa Rais Donald Trump katika Mahakama ya Juu Marekani Amy Coney Barrett huenda akaidhinishwa na Baraza la Seneti kabla ya Uchaguzi Marekani Novemba 3, 2020, ambaye ni mrithi wa hayati Jaji Ruth Bader Ginsburg.