Msumbiji : Mtoto wa Rais wa zamani akabiliwa na kesi ya miradi haramu
Your browser doesn’t support HTML5
Ndambi Guebuza ameshutumiwa kupokea dola milioni 33 kutoka kampuni ya Privinvest ili kumshawishi baba yake, Armando Guebuza, ambaye alikuwa Rais kupitisha miradi haramu ya Baharini.