Msako wa polisi mtaa wa Eastliegh, Nairobi wakosolewa vikali -VOA Mitaani
Your browser doesn’t support HTML5
wakazi wa Eastliegh nairobi , wanalalamika kwamba polisi wanawanyanyasa na kuwabughudhi wanapoendelea na msako wa kuwasaka magaidi kufuatia mashambulizi ya karibuni nairobi.