Mkulima Kenya aeleza hasara inayoletwa na nzi wanaoharibu maembe

Your browser doesn’t support HTML5

Jinsi wakulima wanavyokabiliwa na changamoto ya kutokomeza nzi wenye kuharibu Maembe huku mkulima katika Kaunti ya Makueni akieleza anavyopeteza mavuno kwa kiwango kikubwa.