Amekuwa akitumia fursa hiyo kuwaandaa wataalam wa siku zijazo kani fani hiyo ya mawasiliano ya teknolojia. Endelea kusikiliza repoti kamili...
Mkenya awasaidia wanafunzi kijijini kujifunza kutumia kompyuta
Your browser doesn’t support HTML5
Shule ya msingi ya Zawadi Yetu yanufaika na mchango wa mwanakijiji aliyerejea nyumbani na kuanza kuwasaidia jamii yake kwa kutoa mafunzo ya kompyuta ili kusaidia kuwaelimisha vijana bado wakiwa wadogo juu ya matumizi ya teknolojia hiyo.