Mgombea wa chama tawala cha MPLA Lourenco awahimiza wananchi kupiga kura

Your browser doesn’t support HTML5

Mgombea wa chama tawala cha Angola, MPLA, João Lourenço amepiga kura Jumatano huko Lusiada, Chuo Kikuu cha Angola, jijini Luanda akiwa na mkewe Ana Dias Lourenco.