Mechi za AFCON zahamishwa kutoka Uwanja wa Olembe

Your browser doesn’t support HTML5

Mechi za michuano ya Kombe la Soka la Mataifa ya Afrika inayoendelea nchini Cameroon imehamishwa kutoka Uwanja wa Olembe kupisha uchunguzi baada ya watu wanane kuuawa katika mkanyagano.